Thursday, November 12, 2009
MAMA SALMA KIKWETE NA MAMA THANDIWE BANDA KATIKA MKUTANO WA UTEPE MWEUPE LEO!!
Pulling Strings for 2010
With such a large number of people coming to South Africa next year and with the attention that the country will receive during the 2010 FIFA World Cup™, it is the perfect opportunity for South Africans to showcase their talent and explore the business potential of such a mega-sporting event.One South African is doing just this with his unique – and large – brand of puppetry which will no doubt have the crowds in awe as they are entertained by more than just the action on the pitch.
Daniel Popper is a young artist working and teaching in Cape Town. It was only after graduating from the University of Cape Town’s Michaelis School of Fine Art in 2006 that he first began manufacturing his massive artworks. Over the space of two years, working through trial and error, and a few hints from the internet, he slowly began a process that would lead to the enormous puppets he has now completed.
“When I made my first puppet it was for fun, an experiment. Since then I've taken various puppets to festivals and gatherings where people kept saying how lots of these would look amazing together on a field, at an event, so I came up with this idea to make giant soccer players for the World Cup,” says Popper.
These massive puppets stand at over five metres tall, almost big enough to look through a second floor window. The necessarily lightweight frame is manufactured out of a number of materials, from fabric and bamboo, to aluminium and foam. Each one of these giant structures is operated by a single puppeteer who is strapped into a harness below the puppet. Included in the puppet’s intricate design is a lighting system, which allows the giant art-forms to shine at night, changing their appearance and making their already incredible presence even more commanding.
Popper feels that these puppets offer people something special to the audience watching them. “The attraction is that they are giant; it is always eye catching to see something this big. While a lot of entertainment today is static and boring, these puppets move, they dance, and because of this they really capture people's imagination. They take people out of their environment for a moment, and they start to relax because the puppet reminds them that they are out to have fun,” says Popper.
Since last year Popper's aspirations for the tournament have grown, and he has been encouraged by the response to his prototypes. “It would be amazing if they could be all over the place,” he said, obviously excited for the influx of 450,000 expected visitors next year, many of whom will get to witness his puppets in action on the streets of Cape Town and other cities around South Africa.
Now running his own business, Popper credits the arrival of the 2010 FIFA World Cup for playing a big part in inspiring him to become an entrepreneur “I think that there are opportunities for everybody, but for creative people especially. For a lot of the artists in the country now is a chance for them to put their work out there for the rest of the world to see. This is history and we as artists can record that.”
His advice for other people looking to start up their own businesses ahead of the tournament next year? “Just go for it, don't be afraid to do it. It is tough but the opportunities are there, just be properly prepared.”
The giant football puppets will be performing for the first time at the friendly match between South Africa and Japan at the newly completed World Cup stadium, Nelson Mandela Bay , in Port Elizabeth on Saturday 14 November.
ELIZABETH GUPTA AONGEA NA WAANDISHI WA HABARI!!
U N I T E D N A T I O N S P R E S S R E L E A S E
Nelson Mandela.The resolution recognizes the long history of Nelson Rolihlahla Mandela’s leading role in and support for Africa’s struggle for liberation and Africa’s unity, and his outstanding contribution to the creation of a non-racial, non-sexist, democratic South Africa, as well as Nelson Mandela’s values and his dedication to the service of humanity as a humanitarian, in the fields of conflict resolution, race relations, promotion and protection of human rights, reconciliation, gender equality, the rights of children and other vulnerable groups, as well as the uplifting of poor and underdeveloped communities.
The General Assembly decided to designate 18 July as Nelson Mandela International Day, to be observed each year beginning in 2010.
The President of the General Assembly, Ali Abdussalam Treki, expressed “appreciation to this great man who dedicated his life and suffered for the sake of man everywhere”. Dr. Treki paid tribute to the fighter and his struggle, to what Nelson Mandela had achieved.
Wednesday, November 11, 2009
MSHIRIKI WA BIGBROTHER REVOLUTION ELIZABETH GUPTA AREJEA!!
Elizabeth akipozi kwa picha mbele ya walinzi wake baada ya kupokelewaMWISHO WA KUSAJIRI NAMBA ZA SIMU NI DESEMBA 31, 2009!!
DARASA LA NNE KATIKA MITIHANI LEO NA KESHO!
Grizzlies rookie Thabeet leaves game with broken jaw
Memphis Grizzlies rookie center Hasheem Thabeet, the second overall pick in the June draft, left Tuesday night's game against the Portland Trail Blazers with a broken jaw.The 7-foot-3 center from UConn was injured late in the first quarter during a battle under the Memphis basket. Replays appeared to show Thabeet's jaw colliding with forward Zach Randolph's head.
Thabeet had just entered the game a minute earlier.
Thabeet was playing in his seventh game of the season. He had scored four points and grabbed 11 rebounds in his previous six games, and also recorded six blocks.
President Kikwete inspects agricultural activities in Egypt!!
CLUB MAISHA "HAYA NI MAISHA" MAMA HELLEN SWEYA
IBUA FILMS STAR TANZANIA YAHAMIA MWANZA
Chipukizi waliofanikiwa kuiwakilisha mkoa wa Arusha ni pamoja na Salum Ahmed Shafii, Pauline Edward Munisi, Michael Elias Mrema, Mbara Meena na Enhard Haruna. Kutokana na mwamko mkubwa wa wasanii chipukizi, fomu za kujiunga na shindano la IBUA Film Star Tanzania zinaendelea kutolewa maeneo mbali mbali na mikoa husika. Hii ni kuwawezesha wasanii chipukizi kupata nafasi ya kuonyesha uwezo wao ya kuendeleza vipaji vyao na kuviacha vikipotea kwa kukosa njia ya kuvikuza. Usaili wa mikoani utaandaliwa vipindi maalum na kuonyeshwa kupitia mojawapo ya runinga hapa nchini.
Taasisi ya YEC Production, inayojihusisha na kukuza na kuibua vipaji kwa vijana katika ulingo wa filamu nchini, imegundua njia pekee ya kuibua vipaji hivyo na kuviokoa visipotee kwa kuanzisha shindano maalum la kusaka vipaji. Washiriki wataonyeshwa kwenye runinga kupitia kipindi maalum ambapo watazamaji watahusishwa kumpata staa halisi wa filamu Tanzania.
Mbali na kuviendeleza vipaji vyao pia washiriki watapata mafunzo katika nyanja zote kuanzia za uandishi wa muongozo (scripting) hadi uigizaji bora na kuwawezesha kufikia malengo yao.
Vigezo vilivyotumika katika kumsaka msanii huyo chipukizi ni kuwa na umri wa miaka 16 ikiwa ni pamoja na uelewa. Hata kutokuonekana katika tamthilia au sinema ya aina fulani hapa nchini hicho pia ni kigezo kimojawapo ambacho ni kizuri, kwani vijana wanaochipukia ndiyo wanahitaji msaada mkubwa katika kuibuliwa vipaji, tofauti na wakongwe ambao tayari wamejitangaza.
YEC, imeahidi kuyaangalia matatizo yanayowakabili wasanii kwa kina na kuahidi kutoyarudia, kama yanavyofanywa na baadhi ya wasanii wakongwe, ndiyo maana wameamua kuingia mikataba ya mwaka mmoja na washindi watakaofika kumi bora, ili kuliepuka tatizo hilo.
Sambamba na mikataba hiyo kwa watakaofika kumi bora, pia watatoa nafasi ya kuwapeleka shule watakaoingia tano bora kwa ajili ya kujiendeleza mambo mbali mbali ya sanaa ambapo atakayeibuka kinara atapewa zawadi nyingine maalum.
Pia mchakato wa kuwapata washindi kumi hadi tano bora utaanzia kwenye 20 bora, ambapo watacheza filamu mbili huku majaji wakiangalia kipaji cha msanii mmoja baada ya mwingine na kuendelea kuchujwa hadi kupatikana mshindi.
Filamu watakayocheza zitakuwa katika mandhari ya mtanzania halisi, huku asilimia 60 ya mauzo ya kazi hizo yatakayopatikana zitakuwa kwa ajili ya wasanii wenyewe.
Kutokana na kuona umuhimu wa suala hilo, Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) liliamua kutoa vibali halali vya kuendesha mchakato huo, ikiwa ni pamoja na kupewa baraka na chama cha hakimiliki Tanzania (COSOTA) ya kusimamia kazi hiyo.
Mikoa husika katika mchakato wa kwanza ni Arusha, Mbeya, Zanzibar, Mwanza, Dodoma na Dar es Salaam lakini wigo wa mikoa utaongezeka mwaka hadi mwaka.
Tuesday, November 10, 2009
SUMATRA YATEUA WAKALA WA UKAGUZI WA UTEKELEZAJI WA MASHARTI YA LESENI ZA USAFIRISHAJI ABIRIA MIJINI
Kampuni ya Majembe Auction Mart ambayo imeteuliwa kufanya kazi hiyo kwa kipindi cha mwaka mmoja itatekeleza majukumu waliyopewa kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha Usalama Barabarani. Moja ya majukumu makubwa ya Kampuni hiyo itakuwa ni kusimamia na kufanya ukaguzi wa mara kwa mara kwa mabasi ya Daladala yanayotoa huduma katika Jiji la Dar es Salaam na viunga vyake ili kuhakikisha kuwa masharti ya leseni ya usafirishaji abiria yanafuatwa na watoa huduma ili hatimaye huduma ya usafiri katika Jiji iwe bora na yenye kukidhi mahitaji na matarajio ya wakazi wa Dar es Salaam.
Ili huduma ya usafiri katika Jiji iendelee kuwa bora zaidi, ni matarajio ya Mamlaka kuwa wamiliki, madereva pamoja na makondakta wa mabasi ya Daladala watatoa ushirikiano unaostahili kwa Majembe Auction Mart na Kikosi cha Usalama Barabarani wakati wa utekelezaji wa majukumu yao. Aidha wadau na wananchi kwa ujumla wanaombwa kuendelea kutoa ushirikiano kwa mamlaka zinazosimamia usafiri pamoja na Kampuni ya Majembe kwa lengo la kuimarisha usimamizi na kuboresha huduma hii muhimu kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam.
Mamlaka ya SUMATRA itafuatilia na kusimamia kwa karibu sana utendaji wa wakala Majembe Auction Mart kwa mujibu wa Sheria na Taratibu ili kuondoa kero za usafiri kwa wakazi wa Dar es Salaam.
Tuchukue fursa hii pia kuwakumbusha wananchi kupunguza purukushani kwa kupanga mstari wakati wa kupanda mabasi.
Benitez: We can still win title
The Reds have won just one in nine and went into the game against the strugglers on a run of six defeats in eight games. Even though the miserable run continued - and Yossi Benayoun and Albert Riera were added to Liverpool's injury list with hamstring tears - Benitez insists he is not troubled by the bigger picture.
"I think that for the last three weeks to a month, it's been the same," said Benitez. "We only think about one game at a time so I can't talk about anything else, just three points, so I won't talk about the table or positions.
"We won six games in a row before and when we were under pressure we won against Manchester United, playing really well and the character has been fantastic but we couldn't achieve the three points against Birmingham."
Injury concernsBenitez has acknowledged that Liverpool's poor luck with injuries has been a key part in their poor start to the season. Fernando Torres was absent against Birmingham with a groin problem and remains doubtful for the game against Manchester City after the international break, having been withdrawn from Spain duty.
As well as Benayoun and Riera, Benitez also revealed that Danish defender Daniel Agger was struggling with a back problem to even taint the good news of Steven Gerrard coming off the bench to score from the spot after a groin problem of his own. But Benitez is hoping that the international break will finally bring some good news on the injury front, which should lead to an improvement in results.
"We have some players here and we can work with them but there's a difference in match fitness and to be available," said the 49-year-old. "Torres had no confidence so he couldn't play so he's started his treatment. He has to work with physios and try to improve and be ready so we are not talking about an operation, we are talking about treating him properly.
"It's not a deadline so it's a case of seeing how he reacts every day. After the international break, we will see. At least we have Gerrard and Alberto Aquilani coming back and maybe three or four more will be available. We can manage maybe a little bit better."
Birmingham manager Alex McLeish was delighted with his team's display at Anfield, and particularly with a first goal in English football for Ecuador forward Christian Benitez. "Chucho is a handful and it'll do him the world of good," said McLeish. "As they say, you wait ages for a bus to come along and loads come along and hopefully that'll be the case for Chucho and Cameron.
"We'll maybe look back and think we'll never have a better chance of getting three points at Anfield. If we can marry his (Chucho) culture to ours then we've got a superb wee player there. It's a little alien to the game he played in and he's got to get used to that and realise that everyone means the best for him. He's adapting well."
(Tetesi za Mwanabidii) askari wa usalama watoa sticker maalum baada ya ukaguzi wa gari lenye fire extinguisher!!
Mwenye habari kamili tunaomba utufahamishe tupate uelewa
Monday, November 9, 2009
WAKALI WA ZOUK TANZANIA MPO TAYARI? (AMANIWETU) ANAKUJA
Msanii mpya wa mahadhi ya muziki wa ZOUK anayekuja juu kwa kasi ya ajabu zaidi ya kimbunga cha TSUNAMI,ni zao jipya kutoka Nyanda Za Juu Kusini nazungumzia wilaya ya Njombe ndani ya mkoa wa IRINGA BENDERA YA TAIFA JUU YA MLIMA KILIMANJARO!!
Tamasha la Wiki ya Mitindo ya Kiswahili (Swahili Fashion Week) lamalizika!!

Akizungumzia wiki ya mitindo mwaka huu iliyopewa jina la (Swahili Fashion Week)muasisi na muandaaji wa tamasha hilo Mustafa Hassanali alisema kuwa amefurahishwa sana na bunifu mwaka huu na onyesho hilo na anategemea kuandaa onyesho lililo bora zaidi mwakani.
“Nimefurahishwa sana na sapoti tuliyopata kwa wiki ya Mitindo ya Kiswahili, tumekuwa na siku tatu za maonyesho ya mavazi tukiwa na ukumbi uliyojaa watu. Napenda kuwashukuru sana wote waliowezesha kufanikisha maonyesho ya mwaka huu. Napenda kuwashukuru wabunifu wote walioshiriki na wanamitindo walifanya kazi yao vizuri jukwaani. Mwaka huu tumekuwa na wabunifu wazuri na onyesho zuri zaidi na nina shauku kubwa kuandaa Wiki ya mitindo ya Kiswahili mwaka ujao, aliongeza Hassanali.
Katika siku tatu za maonyesho hayo ya mavazi zilizojumuisha wabunifu kutoka ndani na nje ya nchi, pia kulikuwa na onyesho la mabadiliko ya hali ya hewa na tuzo ya mbunifu mpya ya WAPI vilivyodhaminiwa na British Council Tanzania.
Katika tuzo za mbunifu mpya za WAPI , nafasi ya kwanza ilichukuliwa na 2jenge Afrika Matalay, while second place was taken by Kim Dean and third prize went to Diana Hinji.
Siku ya mwisho ya maonyesho hayo ya mavazi pia kulikuwa na tuzo nyingine kama mgeni mualikwa aliyependeza zaidi ambaye alipata malazi ya bure kutoka nyumba ya Swahili Fashion 2009 Southern Sun Hotel na mshindi alikuwa Caroline ambaye ni mwandishi wa magazeti ya Tanzania Standard.
Tuzo nyingine ilikuwa ni ya mwanamitindo bora wa Wiki ya Mitindo ya Kiswahili 2009 ambayo ilichukuliwa na Victoria Martin kwa kuwa mwanamitindo aliyefanya kazi ya visuri kuliko wote.
Katika wiki hiyo ya mitindo, wabunifu wote walipata mafunzo kutoka kwa walimu wa chuo cha ubunifu Munich nchini Ujerumani kupitia warsha ya siku tatu iliyodhaminiwa na Goethe-Institue Tanzania.
Wabunifu walioshiriki katika wiki ya mitindo ya Kiswahili mwaka huu ni pamoja na Manju Msitta, Ailinda Sawe, Farouque Abdela, na Tanzania Mitindo house na wabunifu wageni watakuwa ni Dorothy Lubega wa Uganda na Vaishali Morjaria kutoka Kenya walioonyesha ubunifu wao siku ya tarehe 4 mwezi huu.
Siku ya Alhamisi tarehe 5 Novemba ilianza kwa onyesho la mabadiliko ya hali ya hewa linalodhaminiwa na British Council, likafuatiwa na maonyesho ya mavazi kutoka kwa Farha Naaz, Kemi Kalikawe, Virginia Njumba na Christine Mhando kutoka Tanzania na Vera Vee wa Kenya na Adelia na Sheila Tique wa Msumbiji.
Siku ya Ijumaa iliaanza kwa wabunifu waliokuwa wanawania tuzo ya mbunifu mpya ya WAPI iliyodhaminiwa na British Council ikafuatiwa na maonyesho mavazi kutoka kwa Khadija Mwanamboka, Zamda George, Robi Morro na Fatma Amour kutoka Tanzania na John Kaveke kutoka Kenya na kumaliziwa na mmoja wa wabunifu maarufu barani Afrika David Tlale wa Afrika ya Kusini.
Maonyesho ya Swahili Fashion Week mwaka huu yaliletwa kwa ushirikiano na kampuni za Vodacom Tanzania na ZTE na malazi ya wageni wa SFW kutolewa na Southern Sun Hotel.
TUNAWAJALI GROUP KUANDAA KONGAMANO LA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI!!
Mwenyekiti wa Bw. Abeid Chembe kulia akizungumzia kongamano la kupunguza ajali za barabarani katika mkutano na wanahabari leoJOHN JAMBELE KUMVAA MAKONGORO MAHANGA UKONGA 2010!!
Bw. John Jambele akizungumza mbele ya waandishi wa habari wakati alipokuwa akitangaza nia yake ya kugombea ubunge katika jimbo la Ukonga kweny uchaguzi ujao 2010.
Bw. John Jambele akiwa na mke wake na mtoto wao mdogo wakati alipokuwa akiongea katika mkutano na waandishiGiraffe watia mkono ziara ya Ferre Gola!!
Mwenzingo atumbuiza K-mondo
Sunday, November 8, 2009
MAISHA CLUB ILIVYOTEKETEA KWA MOTO LEO MCHANA!!
Kama linavyoonekana jengo ilimokuwemo Maisha Club lilkiwa limeungua na kuteketea kabisa kutokana na moto ambao unadaiwa kuanza kuwaka mida ya saa saba mchana hata hivyo imeelezwa kuwa vikosi vya kuzima moto vilichelewa kufika katikaeneo la tukio na kukuta moto huo umesambaa eneo kubwa na kuunguza sehemu kubwa ya club hiyo na kuunguza karibu vifaa vingi vilivyokuwa vikitumika katika club hiyo hali ndiyo kama hivyo wadau tunampa piole mama yetu Hellen Swea na msimamizi wake Dj Majay kwa kupatwa na matatizo hayo mungu awape nguvu na ujasiri katika kipindi hiki kigumu kwako.Shilingi 112,080,000 zinatarajiwa kutumika kujenga zahanati ya Lusoga iliyopo wilayani mbinga!!
08/11/2009 Jumla ya Tshs. 112,080,000/= zinatarajiwa kutumika kwenye ujenzi wa zahanati ya Lusoga iliyopo wilayani Mbinga katika mkoa wa Ruvuma.
Hayo yamesemwa hivi karibuni na Mkuu wa wilaya hiyo Kanali Mstaafu Edmund Mjengwa wakati akikabidhi ripoti ya wilaya ya Mbinga kwa Mke wa Rais Mama Salma Kikwete aliyekuwa na ziara ya kikazi ya siku mbili katika mkoa wa Ruvuma.
Mkuu huyo wa wilaya alisema kuwa ujenzi wa zahanati hiyo ulianza mwezi wa tisa mwaka huu hadi sasa wananchi wameshiriki kuleta matofali ya kuchoma 70,000, mawe tripu 60 na uchotaji wa maji kwa ajili shughuli za ujenzi hivyo kufanya nguvu za wananchi kufikia Tshs. 5,800,000/=.
"Halmashauri kwa upande wake inakusudia kugharamia uwekaji wa umeme, maji pamoja na uzio wa zahanati kazi itakayogharimu Tshs. 30,000,000/= pia wahisani kutoka Jamhuri ya watu wa Korea kupitia shirika la Medical Peace Foundation wametoa mchango wa Tshs. 82,080,000/= na hadi sasa wametoa kiasi cha Tshs. 24,730,413.02", alisema Kanali Mstaafu Mjengwa
Aliendelea kusema kuwa lengo kuu la ujenzi wa zahanati hiyo ni kupunguza msongamano katika Hospitali ya wilaya kwa kuweza kutoa huduma za matibabu kwa wananchi kwani ujenzi wa zahanati hiyo ukikamilika itakuwa na uwezo wa kuhudumia wagonjwa 7,000.
Saturday, November 7, 2009
MZEE ALEX MUKAMA KUSAGA AZIKWA MAKABURI YA KINONDONI!!
Mtoto wa marehemu mzee Alex kusaga na Mkurugenzi wa Radio Clouds Joseph Kusaga na mke wake Juhayna pamoja na mtoto wao wa kwanza Natalia wakiweka shada la maua kwenye kaburi la mzazi wa mpendwa,Mzee Alex Kusaga alifariki hivi karibuni nchini Afrika Kusini alikokuwa akitibiwa ugonjwa wa Kansa.
Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba akiweka shada la maua katika kaburi.
Mwenyekiti mtendaji wa Makampuni ya IPP na mwenyekiti wa wamiliki wa vyombo vya habari (MOAT) Bw. Reginard Mengi akiweka shada la maua kwenye kaburi la Mzee Kusaga kwa niaba ya vyombo vya habari.
Hii ni moja ya Camera maalum zilizokuwa zikirekodi na kurusha tukio hilo moja kwa moja kwa watu waliokuwa wamehudhuria mazishi hayo kupitia luninga kubwa iliyokuwa imewekwa makaburini hapo.
Jeneza la marehemu Mzee Kusaga likiwa limewekwa tayari kwa kushushwa kaburini.
Mkurugenzi wa Masoko Vodacom Tanzania Ephraim Mafuru akiongoza msafara kuelekea mahali pa kuhidhi mwili wa marehemu Mzee Alex Kusaga mara baada ya ibada fupi ya mazishi makaburini hapo.
Wasanii wa kikunsdi cha THT wakiimba nyimbo za maombolezo kwenye mazishi ya mzee Alex Kusaga.
Watangazaji wa Radio Clouds wakiomboleza msiba wa bosi wao.
Wafanyakazi na ndugu jamaa na marafiki wa Mwenyekiti mtendaji wa kampuni ya Clouds Entarteinment wakifuatilia kwa karibu wakati wa ibada ya mazishi katika makaburi ya Kinondoni leo.WAZIRI MKUU AZINDUA MAABARA YA KISASA HOSPITAL YA MKOA WA DODOMA!!
Bendera ya Taifa yafika kileleni Kilimanjaro!!
KILIMANJARO MARATHON 2010 YAZINDULIWA!!
Wenger unconcerned by goals against!!
Arsene WengerHowever, while Arsenal may be the leading scorers in the top flight with 32 goals from the opening ten matches, they have also conceded 13, more than any other of the top four. Wenger, though, does not feel overly concerned.
"We can score goals and open teams up, which is a good basis to have confidence," he said. "It also makes you keen to work on the defensive side of your game. That is a concern, but I do not think it is a problem.
I am happy with our team-work defensively and confident our defensive record will improve.
Arsenal manager Arsene Wenger
"When you analyse the numbers a bit deeper, we conceded goals in high-scoring games where our attention eased off a bit. Also, we have had something like only 36 shots against us, which means defensively we are quite sure," said Wenger. "I am happy with our team-work defensively and confident our defensive record will improve."
Despite leaking the odd goal or two, Arsenal's new central defensive partnership of Thomas Vermaelen and veteran William Gallas has impressed. Belgian international Vermaelen, a £10m summer signing from Ajax, has slotted straight into the heart of the backline, in the wake of Kolo Toure's move to Manchester City.
With Johan Djourou unavailable until spring as he recovers from knee surgery, Philippe Senderos and Mikael Silvestre provide the back-up for what is set to be a hectic return to action following the international break.
Wenger, though, insisted: "At the moment, I am not tempted to rotate [my centre backs]. I do not like to rotate too much in central defence because we are in a position where they have a good understanding and every point is vital, so it is not worth to take a gamble if I am not forced to do it."
The Arsenal manager added: "Senderos is coming back into a good condition, Silvestre is working very hard and looking very good in training, so we are covered, but of course, you want to keep everybody in match fitness."
Vermaelen paid tribute to the way his defensive team-mates helped him settle quickly at Emirates Stadium.
"William is playing very well this year and it makes it easier for me to play in this team," said the Belgian. "It is important to have these good players because it makes it easier to fit in." story by www.fifa.com
RAIS JAKAYA AKITOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MAREHEMU NG'ITU!!
Friday, November 6, 2009
Big Brother Revolution: Images from Day 60 - THURSDAY NOVEMBER 5
Day 60 on M-Net’s Big Brother Revolution and after completing their new garden the housemates prepare for their task presentation. Big Brother has instructed them to host a summer-themed cocktail party which includes a tour of the new garden explaining the concept, design and layout. Meanwhile on completion of a successful presentation the housemates celebrate as Big Brother informs them that they have won their Green Revolution task. Tune in to Big Brother Revolution on DStv channel 198 or 199 and for more information, log on to www.mnetafrica.com/bigbrother.MWENYEKITI WA IPP AKIONYESHA KADI YAKE YA CCM!!
KOMBE LA LIGI KUU UINGEREZA KUONYESHWA KWA MASHABIKI JIJINI DAR!!
RAIS KARUME, SEIF SHARIF HAMAD WAKUTANA IKULU ZANZIBAR!!
Katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na Rais wa Zanzibara na mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Aman Abeid Karume leo wakati alipomtembelea rais huyo katika ikulu ya Zanzibar, Kulia ni Mkurugenzi wa mambo ya nje wa CUF Ismail Jussa hii ni mara ya kwanza kwa Seif sharif Hamad kumtembelea Rais Karume kwa mazungumzo na haijajulikana walizungumzia nini (Picha na Ramadhan Othman wa Ikulu Zanzibar). Catch all the 2009 Channel O Music Video Awards action!

This year’s Channel O Music Video Awards have been applauded as the best ever – and viewers can now be part of the action when Africa’s leading awards event is broadcast on Sunday 8 November.
Carnival City was the venue for the event, which saw Africa’s top artists turn out to celebrate the best and most brilliant that the continent has to offer. And what a line-up of stars it was!
The red carpet was abuzz with action as the nominees, performers and celebrities made their way into the Big Top Arena on the evening of October 29th. From South Africa’s own Da L.E.S to Zimbabwe’s Buffalo Souljah, Namibia’s Gal Level and Nigeria’s Darey Art Alade, the style and sass of Africa’s biggest stars can be seen on Sunday night’s broadcast when the Channel O Music Video Awards Red Carpet Special kicks off at 20:30 CAT.
Come 21:00 CAT it’s time for the real fireworks to begin as a parade of winners take to the podium to receive their awards, much to the delight of their fans in attendance. The real highlight of this year’s Channel O Music Video Awards were the live performances, which included a tribute to Special Recognition award recipient, Brenda Fassie. In what many concluded was the heart and soul of this year’s event, Brenda’s son, Bongani (of Jozi fame) and Winnie Khumalo ignited the stage with renditions of two of Brenda’s biggest hits – ‘Weekend Special’ and ‘Vulindlela’.
Other performances came from Nigerian singer-songwriter, Nneka, South Africa’s own HHP, African Hip-Hop Royalty for the Emcee Africa II winner track “All Around Africa” as well as TKZEE in one of their first live television performances since getting back in the studio.
The show closed in roaring style with a sizzling hot performance by Mozambique’s Lizha James who brought down the house with her Afro centric number. Also adding to the night’s super-charged entertainment were hosts Vuzu presenter Nonhle and Channel O’s own Lungile and KB. They were joined by an impressive lineup of guest presenters including Channel O VJs Chuma, the Twinz, Enhle and Top Mais host, Weza.
So don’t miss out on seeing Africa’s best and biggest stars in full flight! Tune in to the 2009 Channel O Music Video Awards on Sunday 8 November at 20:30 CAT for the Red Carpet Special and 21:00 CAT for the awards event itself.
With hunger rising, food emerges as key to security, poverty and climate!!
Under pressure from dwindling purchasing power since last year’s economic crash, the number of malnourished people in the world has now surpassed a staggering one billion. Food prices – although down globally from mid-2008 levels – continue to remain high in many of the poorest countries, as drought and floods take a toll on livestock and farmlands. Spurred by UN Secretary-General Ban Ki-moon’s High-Level Task Force on the Global Food Security Crisis, donors pledged $20 billion at the G-8 meeting in L’Aquila, Italy, in June this year, where 26 developed and developing nations endorsed a hard-hitting action plan. The “L’Aquila principles” notably place agricultural productivity and support for poor farmers on a par with emergency food aid, usually the more dramatic and better-bankrolled activity. Emergency aid, nevertheless, is now severely under-funded in relation to the impact of economic and weather-related shocks. The World Food Programme is urgently seeking to regain its level of 2008 support, when it led an $8 billion emergency mobilization against hunger, the largest in history.
Thursday, November 5, 2009
VODACOM MISS TANZANIA MIRIAM GERALD AKABIDHIWA BENDERA YA TAIFA!!
MAONYESHO YA SWAHILI FASHION WEEK YAZINDULIWA KWA MAFANIKIO!!
WATOTO 246,927 KUPEWA VYANDARUA VYENYE DAWA VYA KUJIKINGA NA MARALIA MKOANI RUVUMA!!
05/11/2009 Jumla ya watoto 246,927 walio chini ya umri wa miaka mitano wanatarajiwa kupewa bure vyandarua vyenye dawa ili kuweza kupunguza tatizo la kuugua pamoja na vifo vinavyotokana na ugonjwa wa maralia katika mkoa wa Ruvuma.
Hayo yamesemwa jana na mganga mkuu wa mkoa huo Dk. Daniel Malekela wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kugawa vyandarua bila malipo kwa watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano ulifanywa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete katika kituo cha Afya Madaba mkoani Ruvuma.
Dk. Malekela alisema kuwa walifanya sensa ya kutambua idadi ya watoto wanaostahili kupata vyandarua hivyo na jumla ya vyandarua 274,687 vimeshasambazwa katika vijiji na mitaa 539 ya mkoa huo hii inamaana kuwa kuna ziada ya vyandarua 27,760 ili na wale watoto waliozaliwa baada ya sensa kupita wapate
Licha ya kugawa vyandarua vyenye dawa mkoa huo pia unatarajia kuviwekea dawa vyandarua vipatavyo 254,400 vinavyotumika katika kaya bila jamii kuchangia gharama zozote zile.
"Tumeamua kufanya kampeni hii kwani katika tafiti ya kitaifa iliyofanywa mwaka 2007/2008 inaonyesha kuwa ni kaya nne tu kati ya 10 zinatumia chandarua kimoja chenye dawa hii inaonyesha kuwa kaya nyingi katika jamii yetu hazitumii vyandarua vyenye dawa na hivyo kuwa katika hatari ya kuambukizwa ugonjwa wa malaria", alisema Dk. Malekela.
Aliendelea kusema kuwa takwimu za mwaka 2008 zinaonyesha kuwa asilimia 55 ya wagonjwa wote waliopata huduma katika vituo vya kutolea huduma wenye umri chini ya miaka mitano waliugua ugonjwa wa maralia na vifo chini ya miaka mitano vilikuwa ni asilimia 56 ya vifo vyote vilivyotolewa taarifa.
Akizindua kampeni hiyo Mama Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) alisema kuwa lengo la Serikali kutoa vyandarua hivi ni kuwakinga watoto dhidi ya ugonjwa wa maralia na si vinginevyo kwani kumekuwa na tabia ya baadhi ya watu kuviuza na wengine hata kuvivulia samaki haya ni matumizi mabaya ya vyandarua hivi.
Mama Kikwete alisema kuwa kila mtoto anayo haki ya kulala ndani ya chandarua kilichowekwa dawa ya kuua mbu waenezao ugonjwa wa maralia ili kupunguza kiwango cha vifo vitokanavyo na ugonjwa huo.
"Ninawaomba na ninawasisitizia wazazi wote kuwa ni muhimu kumuwahisha mtoto Hospitali pindi anapoonyesha dalili za kuugua ugonjwa wa maralia ndani ya masaa 24 hii inaweza kuokoa maisha yake kwani kumchelewesha ni hatari sana pia baadhi yenu muache tabia ya kuwapeleka watoto wenu kwa waganga wa kienyeji kwani utakuta mtoto anadalili zote za maralia lakini mzazi anampekea kwa waganga wa kienyeji jambo ambalo kwa kiasi kikubwa linaweza kupelekea kifo cha mtoto wako", alisema.
Ugonjwa wa maralia unashika nafasi ya kwanza katika mkoa wa Ruvuma kwani kuna idadi kubwa ya vifo vinavyotokana na ugonjwa huo kwa kiwango cha asilimia 23.9 pia takwimu za mwaka 2004 - 2008 zinaonyesha kuna idadi kubwa ya wagonjwa wa maralia mwaka hadi mwaka. Katika kipindi hiki asilimia 50.3 ya wagonjwa wote wa maralia walikuwa ni watoto chini ya umri wa miaka mitano na zaidi ya miaka mitano walikuwa ni asilimia 49.7.
Wakati huohuo Taasisi ya WAMA iliwapatia kituo cha afya Madaba msaada wa vitanda vya kujifungulia viwili, Delivery kit moja, vitanda vya Hospitali vitano, magodoro matano, mashuka kumi,Stethosope moja, mzani wa kupimia uzito wa watoto moja, mzani wa kupimia uzito wa watu wazima mmoja na trolley dressing moja. Thamani ya vifaa vyote hivi ni Tshs.4,483,000/=.
Big Brother Revolution: Images from Day 58 - TUESDAY NOVEMBER 3!!

Wednesday, November 4, 2009
Bia ya Kilimanjaro yamzindua DC Same!!
Na Mwandishi Wetu, Same
MAPOKEZI makubwa ya wanariadha wanaokimbiza bendera ya Taifa kwenda kilele cha Mlima Kilimanjaro, yamemzindua Mkuu wa Wilaya ya Same, Ibrahim Marwa na sasa ameahidi kuelekeza nguvu zake katika kukuza mchezo huo wilayani mwake.
Marwa aliyasema hayo jana mjini hapa alipokuwa anakabidhi bendera ya Taifa kwa mwanariadha nyota Francis Naali, aliyeanzisha ngwe ya mwisho ya mbio hizo zinazodhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia Bia yake ya Kilimanjaro.
Naali alikuwa anaanzisha mbio kumalizia kilomita 104 kati ya 567 walizokimbia wanariadha zaidi ya 70 tangu kuanza kwa mbio hizo Jumapili iliyopita jijini Dar es Salaam na kuendelea kwa siku nne mfululizo, zikipita katika mikoa ya Pwani, Tanga na hatimaye Kilimanjaro.
“Jamani, nimehamasika sana na ninawashukuru Bia ya Kilimanjaro kwa kuipa Same heshima ya kuwa na kituo cha mbio hizi. Binafsi nimehamasika na ninatangaza rasmi kwamba, kuanzia sasa nitaweka mkazo katika riadha wilayani kwangu.
wakiianza ngwe ya mwisho ya mbio hizo.
Naye Meneja Masoko wa TBL, David Minja akiwa mwenye tabasamu, alisema: “Tunajivunia kampeni hii ya kupandisha bendera katika Mlima Kilimanjaro, na kikubwa tunashukuru kwa jinsi Watanzania walivyopokea kampeni hii ya “Fikisha Tanzania Katika Hatua za Juu”. Tunajivunia mlima mrefu kuliko yote Afrika na tunajivunia bia yetu ya Kilimanjaro…”
Kauli ya shukrani kwa wakazi wa mikoa waliyopitia wanariadha hao ilitolewa pia na Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe.
Alisema; “Leo ni siku ya nne ya mbio hizi za aina yake na tunashukuru kwa mwamko ambao Watanzania wameuonyesha kote tulikopita.Sisi wa Bia ya Kilimanjaro tuko kamili na tunajipanga kuhakikisha mbio hizi zinapata mafanikio zaidi na zaidi, lengo likiwa kwenda sambamba na umaarufu wa mlima wa Kilimanjaro.”
Bia hiyo, ndiyo inayozidhamini klabu kongwe na maarufu zaidi katika soka nchini, Simba na Yanga, pia ni mdhamini wa muda mrefu wa mbio za kimataifa za Marathoni za Kilimanjaro na zile zinazoshirikisha wanariadha kutoka zaidi ya nchi 25 duniani.
Pia ni wadhamini wa Tuzo za Muziki za Kilimanjaro. Imekuwa pia ikidhamini michuano ya mpira wa kikapu ya mkoani Dar es Salaam `RBA Kili’.
Mbio hizo zilitarajiwa kuingia Marangu jana jioni, tayari kwa kuipandisha kileleni mwa Mlima Kilimanjaro, leo.
MATUKIO BUNGENI LEO!!
MILIONI KUMI YA ZAWADI MISS UTALII ILALA 2009 WAREMBO WAPAGAWA DAR’ WEST PARK INN-TABATA!!.
Miss Utalii Ilala katika Msimu huu ilipata bahati ya Kuungwa Mkono kwa asilimia mia moja na Mkurugenzi wa Chicken Hut Tanzania ltd ya Mlimani City, Savannah Lounge- Paradise City Hotel iliyopo katika jingo la Benjamini Mkapa Tower-Posta Mpya, Chaga Bite iliyopo Kijitonyama, Kampala International University iliyopo Gongolamboto, pamoja na Ukumbi wa Da’ West Park Inn- Tabata.Wadhamini wengine waliojitokeza kuunga mkono ni wadau wa Shindano la Miss Utalii ikilinganishwa na miaka ya nyuma.
JOSSE MARA WA FM ACADEMIA ALIPOZALIWA UPYA!!
Mwanamuziki wa bendi ya FM Academia Jose Mara na mkewe Monica a.k.a Mama Junior wakiwa wakitafakari namna ya kukata keki katika kuadhimisha tarehe ya kuzaliwa MBIO MAALUM ZA KUKIMBIZA BENDERA YA TAIFA ZAENDELEA!!
Wanawake wanaopigwa na kuachwa na waume zao wilayani Mbarari kwa kupima virusi vya ukimwi watakiwa kutoa taarifa kwa Mama Kikwete
Mama Salma Kikwete.Na Anna Nkinda - Maelezo, Mbarali
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete amewataka wanawake wilayani Mbarali ambao watapigwa na waume zao au kupewa talaka kutokana na kitendo cha kwenda kupima virusi vya Ugonjwa wa UKIMWI wampe taarifa ili aweze kuchukua hatua na kulishughulikia tatizo hilo.
Mama Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) alitoa wito huo jana wakati akiongea na wananchi wa wilaya hiyo mara baada ya kukabidhi msaada wa vifaa mbalimbali vya afya katika Hospitali ya wilaya Mbarali.
Aidha Mama Kikwete alitoa namba yake ya simu ya mkononi ambayo ni 0754294450 kwa wanawake hao ili waweze kumpigia au kumtumia ujumbe mfupi wa maneno pindi waume zao watakapowanyanyasa kutokana na kitendo cha wao kwenda kupima kwaajili ya kujua afya zao.
"Baadhi ya wanaume siyo waaminifu katika ndoa zao wanakuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanawake wengine na hivyo kuhatarisha usalama wa ndoa zao kwani wengi wao ndiyowanaoleta UKIMWI majumbani, sasa kwanini wewe uwe na ujasiri wa kwenda kupima yeye aje kukupiga au kukupa talaka? Huu si unyanyasaji wa kijinsia?", aliuliza Mama Kikwete.
Aliendelea kusema kuwa ili kupunguza kasi ya maambukizi ya ugonjwa wa UKIMWI katika wilaya ya Mbarali kila mtu anatakiwa kuwa mwaminifu kwa mpenzi mmoja aliyekuwa naye au kama hatakuwa mwaminifu achukue tahadhari.
Akisoma taarifa ya huduma ya afya na uzazi Dk. Somoka Mwakapalala ambaye ni mganga mkuu wa wilaya ya Mbarali alisema kuwa wilaya hiyo ina jumla ya wanawake wenye uwezo wa kuzaa (kuanzia miaka 15 - 49) 69,420.
Alisema kuwa idadi ya akina mama wanaojitokeza katika upimaji wa VVU kwa hiari ili kuzuia maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto (PMTCT) ni ndogo kwani kwa mwaka 2008 wanawake wajawazito waliohudhuria kliniki walikuwa 11,875 na waliokubali kupima kwa hiari walikuwa 4583 sawa na asilimia 39".
Dk. Somoka alisema, "Hali hii inatokana na baadhi ya kina baba kuwazuia wake zao wasipime na kama wakipima kwa siri na kugundulika kuwa wameammbukizwa virusi vya UKIMWI wanawake hao hutalikiwa kwa lazima na waume zao pia ushiriki mdogo wa kina baba katika kuboresha Afya ya uzazi na upimaji wa Virusi Vya UKIMWI (VVU)".
Hospitali hiyo imepata mashine mpya ya kupima Virusi vya Ukimwi (CD4 Machine) kutoka shirika lisilo la kiserikali la Walter Reed na hivyo kupunguza kero kwa akinamama ya kusubiri majibu ya vipimo kwa muda mrefu.
Aliendelea kusema kuwa, Katika kampeni ya upimaji ya hiari ya mwaka 2007 watu waliojitokeza kupima kwa hiari walikuwa ni 24, 350 kati ya hao wanawake ni 14,875 na wanaume ni 9,475 waliopatikana na virusi vya UKIMWI ni 3,186 sawa na asilimia 13.1.
"Idadi ya watu waishio na virusi vya UKIMWI waliosajiliwa katika vituo vya kutolea dawa za kupunguza makali ya ugonjwa huo ni 5,410 kati ya hao wanaotumia dawa ni 2118 sawa na asilimia 39.2", alisema.
Wilaya hiyo ina vituo 47 vya kutolea huduma ya afya kati ya hivyo vinavyotoa huduma za Afya ya uzazi na mtoto ni 34 na vinavyotoa huduma ya kuzuia maambukizi ya virusi vya UKIMWI kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto ni 12.
Ili kuboresha huduma ya uzazi katika Hospitali hiyo, Taasisi ya WAMA ilitoa vitanda vya kujifungulia viwili, Delivery kit moja, vitanda vya Hospitali vitano, magodoro matano, mashuka kumi,Stethosope moja, mzani wa kupimia uzito wa watoto moja na mzani wa kupimia uzito wa watu wazima mmoja . Thamani ya vifaa vyote hivi ni Tshs.5,783,000/=
Rais Kikwete aifariji Familia ya Marehemu Ng'itu Mbezi Beach!!
Bendera ya Taifa yaingia rasmi Kilimanjaro!!
George Kavishe Meneja wa bia ya Kilimanjaro
Waliuaga mkoa wa Tanga jana mchana na kuingia Same, Kilimanjaro baada ya kupokezana bendera ya Taifa kila baada ya kilomita kati ya kumi na 12 hadi walipoingia mjini Same wakitokea Korogwe, Tanga walikopokea bendera kutoka kwa wenzao waliokimbiza kutoka Chalinze hadi Segera.
Leo wanatarajiwa kuifikisha katika mji wa Marangu, Moshi tayari kuanza kazi ya kuipandisha kileleni kabisa kwa mlima mrefu kuliko yote Afrika, Mlima Kilimanjaro kesho.
Kote walikopita, kuanzia Dar es Salaam wanariadha hao walipokelewa kwa hoihoi, nderemo na vifijo, huku waananchi wakiimwagia sifa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia Bia ya Kilimanjaro kutokana na kuasisi mbio hizo zinazotumia kaulimbiu ya “Fikisha Tanzania Katika Hatua ya Juu”.
Kufikia Same, wanariadha takribani 50 waliweza kupokezana bendera katika umbali wa zaidi ya kilomita 450 tangu walipoanza kukimbiza bendera hiyo Jumapili iliyopita katika viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam. Walikimbia kilomita 109 katika siku ya kwanza kati ya Dar es Salaam na Chalinze, Pwani. Siku ya pili `walizikata’ kilomita 196 kutoka Chalinze hadi Segera, Tanga kabla ya jana kuanza mbio Korogwe na kufika Same.
Meneja Masoko wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe alikuwa mwenye furaha zaidi kutokana na mbio hizo kupata mafanikio na kuvuta hisia za wengi tangu zilipoanza iku nne zilizopita.
“Nathubutu kusema nimekuwa mwenye furaha sana kwa sababu katika siku ya tatu yam bio hizi, tayari zimekuwa gumzo. Wengi wamejitokeza katika kushuhudia historia mpya ya riadha, kwani mbio hizi ni za kwanza na za aina yake.
“Kwa jinsi mwamko ulivyo, naweza kusema Bia ya Kilimanjaro itaangalia uwezekano wa kulifanya tukio hili kuwa la kila mwaka,” alisema Kavishe wakati alipokuwa anakabidhi bendera kwa mwanariadha wa kimatifa nchini, Sarah Maja aliyewaongoza wanariadha kutoka Arusha kukimbiza bendera kuanzia Korogwe.
Bia ya Kilimanjaro ndiyo inayodhamini mbio hizo zinazoshirikisha wanariadha nyota zaidi ya 70 waliobahatika kuandika historia ya kuzindia mbio hizo ndefu na za aina yake nchini.
Pia, Bia ya Kilimanjaro inawakutanisha pamoja wanariadha wa mataifa zaidi ya 25 duniani kila mwaka, kutokana na kuwa mdhamini mkuu wa mbio za kimataifa za Marathoni za Kilimanjaro `Kilimanjaro Marathon’.
Tuesday, November 3, 2009
VODACOM MISS TANZANIA AKABIDHIWA MCHUMA WAKE LEO!!
SERIKALI YAOMBWA KUJENGA MABWENI KWA AJILI YA WANAFUNZI WA KIKE AMBAO WAZAZI WAO WANAFANYA KAZI ZA KUHAMAHAMA!!
Na Anna Nkinda - Maelezo, Chunya
03/11/2009 Serikali imeombwa kujenga mabweni angalau mawili katika kila shule wilayani Chunya kwa ajili ya wanafunzi wasichana wanaotoka katika jamii ya wafugaji, wavuvi na wachimbaji ambao wazazi wao wana tabia ya kuhamahama na kusababisha adha kwa wanafunzi hao.
Ombi hilo limetolewa jana na wanafunzi wa kike wa wilaya hiyo wakati wakisoma risala yao kwa Mke wa Rais Mama Salma Kikwete aliyekuwa na ziara ya kikazi ya siku moja wilayani humo na hivyo kupata muda wa kuongea na wanafunzi hao katika ukumbi wa Moon Light.
Akisoma risala hiyo kwa niaba ya wenzake Pendo Gabriel ambaye ni Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Kiwanja alisema kuwa hivi sasa wanafunzi wengi wanaotoka katika jamii hiyo wamekuwa wakipanga mitaani na hivyo kupata kero mbalimbali ambazo zinawapotezea muda wa kujisomea.
"Tunaamini kuwa kujengwa kwa mabweni hao kutaondoa adha ya kupanga nyumba mitaani na kupunguza vishawishi vibaya ambavyo vingeweza kusababisha kupatikana kwa mimba zisizotarajiwa kwani ndani ya miaka minne tangu mwaka 206 hadi mwaka huu wanafunzi wenzetu 114 wa shule za sekondari wamepata ujauzito na hivyo kukatiza masomoyao", alisema Pendo.
Aidha wanafunzi hao pia waliiomba Wizara ya Nishati na Madini kupitia shirika lake la Umeme Nchini (TANESCO) kuweka kipaumbele katika kuzipatia umeme shule za sekondari zilizo karibu na gridi ya Taifa kwa gharama nafuu.
Akiongea na wanafunzi hao Mama Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) alisema kuwa hivi sasa Serikali inalipa kipaombele suala la elimu hapa nchini kwa kuhakikisha kuwa kila kata inakuwa na Shule ya Sekondari.
"Mnachotakiwa kufanya ninyi kama wanafunzi ni kusoma kwa bidii na kuepuka vishawishi ambavyo vitawasababishia kupata Ugonjwa wa UKIMWI na mimba za utotoni na hivyo kukatisha masomo yenu", alisema Mama Kikwete.
Taasisi ya WAMA iliwapatia wanafunzi hao zawadi za jezi pamoja na mipira ambayo wataitumia katika mazoezi mara baada ya kumaliza muda wa masomo yao.
Wilaya ya Chunya ina shule za Sekondari 20 kati ya hizo 18 ni za Serikali na mbili zinamilikiwa na Jumuia ya wazazi na idadi ya wanafunzi katika shule za Serikali ni 5690 wasichana ni 2,404 na wavulana 3286.
Big Brother Revolution: Images from Day 56 - SUNDAY NOVEMBER!!
Day 56 on M-Net’s Big Brother Revolution and Kenya’s Jeremy is evicted from Big Brother Africa.Tune in to Big Brother Revolution on DStv channel 198 or 199 and for more information, log on to www.mnetafrica.com/bigbrother
Monday, November 2, 2009
VIMWANA WA KISURA WA TANZANIA WAINGIA KAMBINI KIROMO RESORT
WASHIRIKI wanaowania umalkia wa Kisura wa Tanzania, juzi waliingia kambini katika hoteli ya Kiromo iliyopo Bagamoyo mkoani Pwani.Akizungumza hotelini hapo, Meneja Mradi wa kampuni ya Beautiful Tanzanie Agency, Grace Kilembe, alisema washiriki hao walipatikana kutoka katika mikoa mbalimbali ya Tanzania Bara.
Aliitaja mikoa iliyofanyiwa usaili na kuwapata washiriki hao walioingia kambini juzi ni Singida, Dodoma, Manyara, Arusha, Kilimanjaro, Arusha, Mara na Dar es Salaam ambapo waliwapata wasichana 20 wenye vigezo vya mashindano hayo.
Aliwataja wasichana hao na mikoa waliyotoka kwenye mabano ni Mwajabu Juma (Mwanza), Lucky Mwakatobe, Resson Soto (Arusha), Jack's Oyombe, Alinda Lema, Violety Mganga, Sharon Silas (Dar es Salaam), Jackline Benson (Arusha) na Gloria Gilbert (Tanga).
Wengine ni Glady Molel, Lightness Mwanga, Mwatatu Francis, Mary Joel, Shamim Babu (Manyara) na Mary Mallya (Dodoma), Asnat Mohammed na Diana Ibrahim (Mara).
Alisema washiriki hao watakaa katika kambi kwa muda wa mwezi mmoja na wiki mbili huku wakitoka mmoja mmoja mpaka watakapobaki 10 ambao wataingia fainali ya mashindano hayo.
Grace alisema visura 10 watakaoingia fainali hiyo watapatikana kwa njia ya kupigiwa kura na watazamaji wa televisheni ya TBC1.
Grace alisema mwaka huu walijitokeza visura wengi katika hatua za awali tofauti na mwaka jana na kuwapa moyo waandaaji hao kuwa, wengi wameanza kuyaelewa mashindano hayo na manufaa yake.
Ziara ya mwanamuziki Ras Nas aka Nasibu Mwanukuzi!!
Ile ziara ya mwanamuziki Ras Nas aka Nasibu Mwanukuzi katika miji sita ya Norway karibu inamalizika. Hapa ni kwenye ukumbi wa MS Innvik, Oslo, ambapo Ras Nas na kikosi chake waliwasha moto mkali usiku wa Halloween; Jumamosi iliyopita. Hivi sasa Ras Nas amejipanga kufyatua CD ya muziki na mashairi "Double Focus". Mashairi yanatoka kwenye kitabu ambacho Nasibu aliandika mwaka 1989 pamoja na shairi moja la Shabaan Roberts “Titi la Mama”. Kwa hiyo hivi sasa kaa chonjo!MBIO KUELEKEA MLIMA KILIMANJARO!!
Na Mwandishi Wetu
CHAMA cha Riadha mkoani Dar es Salaam (DAAA), kimeimwagia sifa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Kilimanjaro kutokana na kuanzisha mbio za aina yake za kukimbiza bendera ya Taifa kutoka Dar es Salaam hadi kilele cha Mlima wa Kilimanjaro.
Bia ya Kilimanjaro ndiyo inayodhamini mbio hizo zinazoshirikisha wanariadha nyota zaidi ya 70 wanapokezana bendera kila baada ya kilomita kati ya kumi na 12.
Akizungumza mjini Chalinze wilayani Bagamoyo juzi, Katibu wa DAAA, Kapteni Mstaafu Lucas Nkungu alisema kwamba, Bia ya Kilimanjaro imekuja na kitu kipya na chenye kuongeza ladha katika riadha chini.
“Tumefarijika sana kwa Bia ya Kilimanjaro kuibuka na aina hii ya mbio ambazo mara nyingi tumekuwa tukizisikia au kuziona katika nchi za wenzetu waliopiga hatua katika riadha,” alisema Nkungu ambaye mkoa wake ulipewa jukumu la kuwa mwenyeji wa uzinduzi wa mbio hizo zenye kauli mbiu ya “Fikisha Tanzania Katika Hatua za Juu”.
Nkungu aliyeibatiza Bia ya Kilimanjaro kuwa `Mwanamichezo wa Kweli’, alisema mbio hizo zitachochea ukuaji wa riadha na hivyo kuwa na nafasi nzuri ya kuwakomboa wanamichezo waliopo na wanaotarajiwa kujikita katika riadha.
Mbali ya kuanzisha kwa mbio za kukimbiza bendera ya taifa kuelekea kilele cha Mlima Kilimanjaro, Bia ya Kilimanjaro imekuwa mstari wa mbele katika kudhamini michezo nchini.
Bia hiyo, licha ya kuwa wadhamini wakuu wa klabu kongwe na maarufu zaidi katika soka nchini, Simba na Yanga, pia ni mdhamini wa muda mrefu wa mbio za kimataifa za Marathoni za Kilimanjaro na zile zinazoshirikisha wanariadha kutoka zaidi ya nchi 25 duniani.
Ndio wadhamini wa Tuzo za Muziki za Kilimanjaro. Imekuwa pia ikidhamini michuano ya mpira wa kikapu ya mkoani Dar es Salaam `RBA Kili’.
Naye Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe aliye katika msafara wa wanamichezo ulioanza juzi jijini Dar es Salaam, akizungumzia mbio za bendera ya taifa, anasema; “Hii ni namna pekee ya kufurahia na kujikumbusha mafanikio yetu ya kiwango cha juu, ndiyo maana kampeni hii inaitwa ‘Fikisha Tanzania Katika Hatua ya Juu Zaidi.’’
Safari ya kukimbiza bendera hiyo katika miji kadhaa kati ya Dar es Salaam na Moshi, mkoani Kilimanjaro inatarajiwa kufikia kilele Ijumaa.
The Book of Dar. launch on Thursday 5 Nov 2009!!
Dar es salaam City.Every day life for Dar es Salaam’s four million inhabitants is captured in a varietyof ways: from umbrellas providing shade from the hot African sun for young andold, the traditional dhows meandering along the coastline, the numerous colourful kangas and kitenges traditionally worn by Tanzanian women, the long line of ships awaiting their turn to enter the port, to people drinking tea or coffee on the corner of the street.
The images provide a snapshot of life in different municipalities of Dar esSalaam. The typical elements of and the differences between these districts clearly show that Dar es Salaam is a cosmopolitan city and a melting pot for a variety of cultures. The photos of each municipality express the city’s diversity through ethnic and religious backgrounds, through architecture and daily street activities. Anyone familiar with the city will recognize or remember something of the situations depicted. Anyone not yet familiar will be tempted to visit soon.
Facts:
Authors/Photographe rs: Indra Struyven ( Belgium ) and Sasja van Vechgel (The Netherlands)
Book launch :
Date: Thursday 5 November 2009
Venue: Nafasi art space, Mikocheni (see map attached)
Time: 6-9pm
Exhibition remains opens:
6 Nov 9am-5pm
7 Nov 9am-2am
The higher learning students of about 15,000 under the Campus Night!!
The bonanza will be hosted by the Victory Christian Centre (VCC) at Uhuru stadium in Dar es Salaam.
The theme of the Bonanza will be ‘Higher Life Assurance in God’ to make the student understand the values of Integrity, Commitment, Responsibility and Accountability of leadership under good governance in the country.
Under the Campus Night program students would be educated on various issues facing the country and make them relax their minds as they have always been occupied by studies.
The education during the bonanza will be given through the dancing, dramas music performances, comedies, interviews with celebrities and much more.
Big Brother Revolution: Images from Day 54 - FRIDAY DAY OCTOBER 30!!
Day 54 on M-Net’s Big Brother Revolution and Nigerian superstar D’Banj surprises the housemates!Tune in to Big Brother Revolution on DStv channel 198 or 199 and for more information, log on to www.mnetafrica.com/bigbrother.
Wanafunzi 2778 hawakufanya mtihani wa darasa la saba mwaka huu kutokana na tatizo la utoro na mimba mkoani Mbeya!!
02/10/2009 Wanafunzi 2778 waliotarajiwa kufanya mtihani wa darasa la saba mwaka huu katika mkoa wa Mbeya hawakuweza kufanya mtihani huo kutokana na tatizo la utoro na mimba.
Hayo yamesemwa jana na Katibu Tawala wa mkoa huo Beatha Swai wakati akisoma taarifa ya Mkoa wa Mbeya kwa Mke wa Rais Mama Salma Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) aliyeko ziara ya kikazi ya siku tatu mkoani humo.
Akitoa ufafanuzi wa idadi hiyo ya wanafunzi Swai alisema kuwa wanafunzi 78,429 walisajiliwa kufanya mtihani wa darasa la saba kwa mwaka huu lakini wanafunzi 2,778 ambo wavulana ni 1626 na wasichana 1152 hawakuweza kufanya mtihani huo.
Swali alisema, "Kati ya wanafunzi 2778 watoro ni 2626 ambao wavulana ni 1577 na wasichana ni 1049 na wanafunzi 39 walishindwa kufanya mtihani kwa ajili ya kupata ujauzito".
Taarifa hiyo pia inasema kuwa Mkoa wa Mbeya umepiga hatua katika upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi wake kwani hadi kufikia Septemba 2009 kiwango cha upatikanaji wa maji vijijini ni asilimia 59.9 na kamati za maji 523 zimeimarishwa kwa mafunzo na mifuko 352 imeanzishwa ambapo shilingi milioni 242.9 zimekusanywa kupitia mifuko hiyo.
Kwa upande wa mjini hadi sasa upatikanaji wa maji ni asilimia 93 sawa na masaa 22:15 kwa siku baada ya kukamilika ukarabati na upanuzi wa miundombinu ya maji. Mkoa unazo Mamalaka Ndogo za Maji za makao makuu ya wilaya na miji midogo 10 zinazotoa huduma za maji.
Baada ya kupokea taarifa ya Mkoa Mama Kikwete aliongea na Wanawake wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) na kuwataka kupunguza mimba za utotoni pamoja na utoro kwa watoto wao kwani malezi ya watoto yako mikononi mwa wanawake, wanaume wanachofanya ni kuwasaidia tu.
Alisema kuwa idadi ya wanafunzi watoro pamoja na wanaopata ujauzito ni kubwa sana hivyo wao kama wazazi wanatakiwa kuongea na watoto wao ili wabadilike kitabia na kupunguza taizo hili au kama itawezekana kuliondoa kabisa.
"Inasikitisha sana kuona kuwa watoto wetu wanashindwa kumaliza shule kutokana na tatizo la utoro na mimba kwani kama wangweza kumaliza masomo yao wangepatikana wataalamu mbalimbali ambao wangeweza kuleta maendelea ya nchi yetu na hivyo kupunguza tatizo la wataalamu tulilokuwa nalo hapa nchini", alisema Mama Kikwete.
Mwenyekiti huyo wa Taasisi ya WAMA aliendelea kusema kuwa tatizo hili kama halitaweza kutatulia hali ya umaskini haitaweza kupungua katika jamii ya kitanzania kwani kutakuwa na maisha ya kutegemeana kwa kuwa watoto wengi hawatakuwa wamepata elimu ya kutosha ambayo itawasaidia kuinua kiwango chao cha maisha kwa kupata ajira Serikalini na katika Sektabinafsi.
Mama Kikwete aliwakabidhi kadi za uwanachama wa UWT wanachama wapya watano kwa niaba ya wenzao 150 ambao ni wanafunzi wa vyuo vikuu vishiriki vilivyopo katika mkoa huo.
Taasisi ya WAMA ilikichangia Chama cha Kuweka Akiba na Kukoba (SACCOS) cha Mbeya City Women Group ambayo inamilikiwa na UWT, Tshs.1,500,000/= fedha ambazo zitatumika kuinua mtaji wa chama hicho.
Sunday, November 1, 2009
SWAHILI FASHION WEEK PHOTOS MODEL CASTING!!
Rais Kikwete aweka jiwe la Msingi kiwanda cha bia Mbeya,akagua ujenzi hospitali ya mkoa, na kutembelea kiwanda cha Marumaru!!
Rwanda wapata wawakilishi Miss East Africa 2009!!
Katika shindano hilo lililofanyika kwenye hoteli ya Serena mjini hapa, Cynthia alizawadiwa faranga milioni moja karibu sh milioni tatu za kitanzania.
Kwa ushindi huo sasa Cynthia ataiwakilisha Rwanda katika fainali za Miss East Africa zitakazofanyika Desemba 18 kwenye ukumbi wa Mlimani City , Dar es Salaam .
Mrembo Annete Mahoro alishika nafasi ya pili akiondoka na faranga 500,000 sawa na karibu milioni moja na nusu ya Tanzania . Annete pia ataiwakilisha Rwanda kwenye fainali za Miss East Africa.
Nafasi ya tatu ilikwenda kwa Sabrina Kaganza wakati Viviane Umulisa na Ritha Uwera walishika nafasi ya nne nay a tano. Majaji wa shindano hilo Rena Callist, Petter Mwendapole ( Tanzania ), Lauren Makuza na Evelyne Umurerwa ( Rwanda ) na Inamahoro Chantal ( Burundi ) walimchagua mrembo Uwera Magreth kuwa Miss Photogenic na vazi zuri la ubunifu ambapo alipata ofa ya kutembelea vivutio mbalimbali vya utalii Tanzania pamoja na kuishi kambini na warembo wengine wa Miss East Africa .
Shindano hilo lilipambwa na wasanii mbalimbali wa Rwanda lakini muigizaji Ntarindwa Diogene alionekana kukongoka nyoyo za mashabiki waliohudhuria onyesho hilo . Pia mwanamuziki Meddy alichangamsha onyesho hilo .
Warembo wote 12 walipita jukwaani na mavazi ya ubunifu, jioni vazi la asili kabla ya kuchujwa na kubaki watano ambao waliulizwa maswali mbalimbali kuhusu Jumuiya ya Afrika Mashariki pamoja na maisha yao binafsi.
Kambi ya Miss East Africa itakuwa Kunduchi Beach Hoteli na itaanza Desemba 1 mwaka huu.
JINSI SIMBA ILIVYOISASAMBUA YANGA KATIKA PICHA!!
Mussa Hassan Mgosi akielekea kumaliza kazi aliyotumwa na kocha wake Mzambia Sir Patrick Phiri jana kwenye uwanja wa Taifa wakati miamba hiyo ya Soka Simba na Yanga ilipopambana katika mchezo wa kumi ikiwa ni mzunguko wa kwanza wa ligi kuu ya Vodacom ambapo wekundu hao wa msimbazi waliicharanga Yanga kwa Goli 1-0, goli hilo likiwezesha Simba kushinda michezo yake yote baada ya kushuka dimbani mara kumi na timu mbalimbali za ligi kuu ya Vodacom hapa nchini, Novemba 7 Simba inashuka dimbani tena kuumana na Mtibwa Sugar katika kukamilisha michezo yake 11 ya mzunguko wa kwanza.
Danny Mrwanda wa Simba akimfungasha tela Amir Maftaha wa Yanga.
Emanuel Okwi na Mussa Hassan Mgosi wakiwaonyesha kazi wachezaji wa Yanga.TBL YATOA MSAADA WA MILIONI 8 IYUNGA SEKONDARI!!
kusaidia kuezeka vyumba vinne vya madarasa. Hafla hiyo ilifanyika katika shule hiyo Jijini
Mbeya jana.
Sekondari ya Ufundi ya Iyunga, France Mng'ong'o, msaada wa saruji, mabati na mbao vyote
vikiwa na thamani ya sh. milioni 8,ikiwa ni msaada wa TBL kwa ajili ya kusaidia kuezeka
vyumba vinne vya madarasa. Hafla hiyo ilifanyika katika shule hiyo Jijini Mbeya jana.
Saturday, October 31, 2009
MISS EAST AFRICA RWANDA LEO SERENA HOTEL!!
Maradona recalls Cambiasso!!
Argentina coach Diego Maradona.The Inter Milan midfielder was overlooked for the final eight games of a stuttering 2010 FIFA World Cup South Africa™ qualifying campaign, during which Maradona came under increasing pressure for his high rotation of players. Argentina only secured their place at next summer's finals with a 1-0 win over Uruguay in their final game.
Cambiasso is joined in being recalled to the national team by Real Madrid's Fernando Gago and Atletico Madrid's Maxi Rodriguez, both of whom missed the crucial match in Montevideo. Maradona, who turned 49 on Friday, also sprung a surprise by including uncapped left-back Cristian Ansaldi, who plays for Russian champions Rubin Kazan.
Argentina meet Spain in their friendly at the Vicente Calderon in Madrid on 14 November.
Argentina squadGoalkeepers: Sergio Romero (AZ Alkmaar/The Netherlands), Mariano Andujar (Catania/Italy)
Defenders: Fabricio Coloccini (Newcastle United/England), Martin Demichelis (Bayern Munich/Germany), Gabriel Heinze (Marseille/France), Nicolas Pareja (Espanyol/Spain), Cristian Ansaldi (Rubin Kazan/Russia)
Midfielders: Jonas Gutierrez (Newcastle United/England), Maximiliano Rodriguez (Atletico Madrid/Spain), Javier Mascherano (Liverpool/England), Fernando Gago (Real Madrid/Spain), Esteban Cambiasso (Internazionale/Italy), Angel Di Maria (Benfica/Portugal), Pablo Aimar (Benfica/Portugal)
Forwards: Lionel Messi (Barcelona/Spain), Gonzalo Higuain (Real Madrid/Spain), Carlos Tevez (Manchester City/England), Sergio Aguero (Real Madrid/Spain), Ezequiel Lavezzi (Napoli/Italy) story by http://www.fifa.com/
Wanafunzi 592 wameacha shule wilayani Nkasi kwa kipindi cha miaka miwili!!
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na wanafunzi katika moja ya shule alizowahi kuziutembelea.Na Anna Nkinda - Maelezo, Nkasi
31/10/2009 Wanafunzi 592 wameacha shule wilayani Nkasi kutokana na tatizo la utoro, mimba, kukosa mahitaji na kuugua kwa kipidi cha miaka miwili na hivyo kusababisha kupungua kwa idadi ya wanafunzi wanaomaliza elimu ya shule ya msingi na sekondari wilayani humo.
Hayo yamesemwa jana na Mkuu wa wilaya hiyo Joyce Mgana wakati akisoma taarifa ya utekelezaji wa shughuli za maendeleoa ya wilaya kwa Mke wa Rais Mama Salma Kikwete aliyepo ziara ya kikazi ya siku tatu wilayani humo.
Mgana alisema kuwa tangu mwaka 2008 hadi sasa wanafunzi wa shule ya msingi alioacha masomo ni 226 kati ya hao wasichana ni 102 na wavulana 124 na katika shule za sekondari wanafunzi 366 waliacha masomo wakiwemo wasichana 195 na wavulana 171.
"Kuanzia mwaka 2008 hadi sasa wanafunzi 17 wa shule za msingi na wanafunzi 69 kwa upande wa sekondari walipata ujauzito na kesi zao zinaendelea mahakamani, kitendo hiki kinasababisha kwa kiasi kikubwa kushusha maendeleo ya mtoto wa kike", Mgana alisema.
Ili kukabiliana na tatizo la wanafunzi wa kike kupata ujauzito wilaya hiyo iko katika mkakati wa kujenga Hosteli mpya za wasichana zisizopungua tano kwa kila mwaka hadi sasa jumla ya Hosteli saba zinatarajiwa kukamilika kujengwa katika mwaka 2009/ 10.
Mkuu wa wilaya hiyo alisema kuwa, "Kuhusiana na tatizo la utoro mashuleni wanafunzi katika wilaya hii wanakula chakula cha mchana shuleni jambo ambalo limesaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza tatizo hili".
Wilaya hiyo inakabiliwa na changamoto mbalimbali katika sekta ya elimu ikiwa ni pamoja na ongezeko la watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu kwani hadi sasa katika shule za msingi kuna watoto yatima 4766 kati yao wasichana ni 2362 na wavulana 2404
Kwa upande wake Mama Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) aliwataka wakazi wa wilaya hiyo kuhakikisha kuwa watoto wao wanasoma na kufuatilia maendeleo yao mashuleni.
"Ninawasihi kina baba na kina mama msipokee mahari ya watoto wenu msubiri hadi matokeo ya mtihani yametoka kama mtoto amefeli na mzazi anao uwezo wa kumsomesha katika shule ya kulipia ni bora ukampeleka mwanao shuleni kuliko kumuoza jambo ambalo litarudisha nyuma maendeleo yake ", alisema Mama Kikwete.
Aliendelea kusema kuwa Serikali ina makusudi ya kuanzisha shule za Sekondari za kata na kuongeza idadi ya shule za Msingi ili watoto wetu wasome na kupata wataalamu wengi ambao watasaidia kupunguza tatizo la wataalamu tulilonalo hivi sasa.
Wilaya hiyo ina shule za msingi 97 na shule za sekondari za Serikali 18 zilizojengwa kwa kushirikiana na wananchi, jumla ya wanafunzi katika shule za sekondari ni 6066 wasichana 2053 na wavulana 4013 na katika shule za msingi ni 49,428 kati ya hao wavulana ni 24,682 na wasichana ni 24,746.
Taasisi ya WAMA ilivichangia vikundi vya wanawake wajasiriamali vilivyopo wilayani humo Tshs. 1,500,000/= na Umoja wa Wanawake (UWT) Tshs. 500,000 fedha ambazo zitatumika kuinua mitaji ya vikundi hivyo.
Rais Kikwete azindua kliniki ya meno Ilembo!!
Big Brother Revolution: Images from Day 53 - THURSDAY OCTOBER 29!!
Day 53 on M-Net’s Big Brother Revolution and the question that surely was on the housemates minds…is Big Brother ever coming back?Having received a note from Big Brother on Monday saying that the housemates are on their own as they had failed to inspire Biggie, and with telephonic access to a call centre where no-one picks up the phone, the housemates were still waiting and wondering…
And on Thursday night, the housemates created their own task and presented a performance sketch…but was Biggie watching?
Tune in to Big Brother Revolution on DStv channel 198 or 199 and for more information, log on to www.mnetafrica.com/bigbrother.
Friday, October 30, 2009
JESHI LA POLISI KUENDELEA KUTOA TUZO KWA ASKARI NA WANANCHI!!
(Picha, Habari na Aron Msigwa- MAELEZO).
Jeshi la Polisi limesema kuwa litaendelea kutoa tuzo kwa askari , raia na wafanyabiashara wanaotoa michango mbalimbali na kushirikiana na Jeshi hilo katika kufanikisha vita dhidi ya vitendo vya uhalifu nchini.
Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es salaam na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Said Mwema wakati wa sherehe za kuwatunuku nishani maafisa polisi na askari walioshiriki katika oparesheni za kulinda amani nchi Comoro na raia wema (wafanyabiashara) waliotoa michango mbalimbali ili kuliwezesha Jeshi la polisi kutekeleza majukumu yake ipasavyo.
Amesema mpango huo wa utoaji tuzo kwa wafanyakazi bora wa jeshi la polisi, raia na wafanyabiashara wanaoshirikiana na Jeshi la Polisi unatokana na jeshi kutambua mchango mkubwa walioutoa na wanaoendelea kuutoa katika kuboresha utendaji kazi ndani ya jeshi.
Amefafanua kuwa Jeshi la Polisi litaendelea kuwathamini askari wake kwa kuwapa motisha ili kuhakikisha kuwa ulinzi na usalama ndani ya nchi unaimarishwa.
“Hata tukiwa na magari, tuwe na ndege ni lazima tuthamini askari wetu kuliko kitu kingine ili kuhakikisha ulinzi na usalama pamoja na maisha bora kwa kila mtanzania yanapatikana” amesema.
Ameongeza kuwa viongozi wa Jeshi wataendelea kukaa pamoja ili kuvipima, kuviibua na kuviendeleza vithaminiwa vya polisi pamoja na kutoa zawadi kwa askari wanaofanya kazi nzuri ya kulinda mali na maisha ya raia ikiwa ni sehemu ya kuthamini mchango wao na kuwapa sifa stahiki.
Kuhusu Jeshi la Polisi kuendelea kushirikiana na raia wote katika Nyanja ya ulinzi shirikishi amesema kuwa Jeshi la Polisi linaandaa utaratibu ili kuhakikisha kuwa raia wote wanashiriki kikamilifu katika kujilinda wenyewe mahali wanakoishi pamoja na kuaandaa askari na maafisa wa polisi wa kudumu watakaoshirikiana na vikundi maalum vya ulinzi vitakavyoanzishwa katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam.
Kwa upande askari waliotunukiwa nishani kwa kushiriki harakati za kulinda amani nchini Comoro Generali Mwema amesema ni mfano wa kuigwa kwani walifanya kazi katika nchi tofauti na waliyoiazoea pamoja na kushirikiana kikamilifu na askari kutoka katika nchini nyingine zilizoshiriki operesheni za ulinzi wa amani nchini Comoro.
Hata hivyo amesema Jeshi la Polisi liko makini kuhakikisha kuwa mafunzo ya askari yanaboreshwa ili kuwawezesha askari kufanya kazi kikamilifu watokapo mafunzoni hatua hii ikijumuisha mpango wa kuongeza mafunzo kivitendo zaidi kwa askari kwenye maeneo ya raia.
Mbali na hilo amesema Jeshi la Polisi linaendelea kufanya marekebisho kwa kuwawezesha kielimu askari wake ili kuwajengea uwezo na kulifanya kuwa la kisasa zaidi na lenye wataalam wa kutosha na hivyo kuongeza ufanisi katika majukumu ya kila siku.
Aidha ametoa wito kwa wananchi na kushirikiana na jeshi la Polisi katika kutimiza wajibu wake kwa ulinzi shirikishi na kuongeza kuwa mpango wa utoaji tuzo kwa wafanyakazi wa jeshi la polisi, raia na wafanyabiashara wanaoshirikiana na Jeshi la Polisi utaboresha mawasiliano na ushirikiano zaidi.
WAPENDA MAENDELEO KUCHANGIA (VICOBA) WILAYANI MISENYI!!
Rais Kikwete aweka jiwe la msingi kituo cha Watoto yatima Rungwe!!
MAJENGO YAJENGWA SHULE YA SEKONDARI MPANDA!!
30/10/2009 Serikali imetoa jumla ya Tshs. 52,000,000/= kwa ajili ya ujenzi wa madarasa manne, choo matundu sita na nyumba moja ya mwalimu katika shule ya Sekondari ya wasichana ya Mpanda.
Hayo yamesemwa jana na Mkuu wa shule hiyo Mwalimu Nyabise Sabasi wakati akitoa taarifa ya shule hiyo kwa Mke wa Rais Mama Salma Kikwete aliyetembelea shuleni hapo kwa ajili ya kuongea na wanafunzi wa kike wa wilaya ya Mpanda katika mkoa wa Rukwa.
Mwalimu Sabasi alisema kuwa katika utekelezaji wa ujenzi wa miradi hiyo shule imetoa mchango wake kwa kufyatua matofali laki moja na thelathini elfu. Pia shule iliandaa harambee kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa elimu ambapo zilipatikana Tshs.4,549,000/= ila bado kuna upungufu wa Tshs. 25, 595,145/= ili ujenzi wa miradi hiyo uweze kukamilika.
Shule hiyo inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja na upungufu wa mabweni manne kwani shule hiyo ilijengwa kwa ajili ya kulala wanafunzi 320 lakini hivi sasa kuna wanafunzi 640 kutokana na tatizo hilo shule inatumia baadhi ya vyumba vya madarasa kuwa mabweni.
Aliendelea kuzitaja changamoto zingine kuwa ni ongezeko la wanafunzi yatima na wanaotoka katika mazingira magumu kwani hivi sasa shule hiyo ina wanafunzi 33 ambao hupata shida mbalimbali na kukosa mahitaji muhimu, baadhi yao hulazimika kubaki shuleni kwa vipindi vyote vya likizo lakini kuna wengine wanaacha shule kwa sababu ya maisha duni na wengine hulazimika kuingia kwenye vitendo viovu wakidhani kuwa watapata mahitaji muhimu kwa maisha.
"Tunakabiliwa na upungufu wa madarasa matatu,, upungufu wa nyumba za wafanyakazi, upungufu wa vitendea kazi vinavyoendana na karne ya sayansi na keknolojia, upungufu wa vitabu vya kidato cha tano na sita, ukosefu wa uzio, upungufu wa wafanyakazi na hatuna gari dogo ambalo litatumika wakati wa dharula", alisema.
Akiongea na wanafunzi wa kike 1500 kutoka shule za sekondari 15 Mama Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) alisema kuwa sababu za kihistoria zilikuwa zikiwanyima watoto wa kike fursa ya kupata elimu ikilinganishwa na watoto wa kiume.
FIESTA ONE LOVE YACHANJA MBUGA KWENYE MITANDAO!!
Thursday, October 29, 2009
TUSIMAME NA KUUPIGA VITA UMASIKINI JAMANI!!
ALLIANCE FRANCAISE, THE FRENCH EMBASSY AND VISA2DANCE PRESENT
ZAHRBAT DANCE COMPAGNIE
(Contemporary / hip hop dance from France)
THE BEST FRIENDS
(Winners of DSM street dance competition)
TMK WANAUME HALISI
PROFESSOR JAY
MRISHO MPOTO
FID-Q
Venue: Diamond Jubilee-Main Hall.
Date: Saturday 31 October 2009.
Time: 8pm - 12pm
Entrance fees: TSH 6000
TSH 2000 (students & under 26 years)
A brilliant mix of Tanzanian & French music and dance, hip hop style. For both hip hop fans and contemporary dance lovers.
The opening act will be a presentation by selected Tanzanian dancers as the result of a two days workshop conducted by Zahrbat French dancers and choreographers.
Zahrbat performance will start by a 30mn danced lecture on the history of hiphop dance. It will be followed by “El Firak” a 30mn dance duo about separation and dealing with the issue of the wall built between Israel and the West Bank and the families torn apart by the conflict. The night will continue with live performances of
TMK WANAUME HALISI, PROFESSOR JAY, MRISHO MPOTO, FID-Q and BEST FRIENDS dance show.
Wanafunzi 220 wapata mimba kwa muda wa miezi kumi mkoani Kigoma!!
Na Anna Nkinda - Maelezzo, Kigoma29/10/2009 Jumla ya wanafunzi 220 wa shule za Msingi na Sekondari Mkoani Kigoma wamepata ujauzito kuanzia mwezi wa kwanza hadi wa kumi mwaka huu na hivyo kushindwa kuendelea na masomo yao.
Hayo yamesemwa jana na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Joseph Simbakalia wakati akisoma taarifa ya maendeleo ya mkoa huo kwa Mke wa Rais Mama Salma Kikwete aliyepo mkoani humo kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.
Taarifa ya Mkuu wa Mkoa huyo ilifafanua kuwa wanafunzi wa shule za Sekondari waliopata ujauzito ni 163 na wa shule za msingi ni 57.
Kwa upande wa mwaka jana wanafunzi waliopata ujauzito ni 167 ambapo wanafunzi wa shule za sekondari ni 85 na shule za Msingi ni 82.
Ili kukabiliana na tatizo hilo mkoa huo unajenga hosteli ambazo zitawasaidia wanafunzi wa kike kukaa shuleni wakati wote wa masomo na hivyo kuepukana na mazingira ambayo yatawafanya wapate mimba kirahisi.
Kwa upande wake Mama Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) alipata muda wa kuongea na wazazi pamoja na wanafunzi wa kike wa mkoa huo na kuwataka kutojiingiza katika mapenzi kabla ya wakati bali wasubiri hadi pale watakapomaliza masomo yao.
"Hao wanaume wanawadanganya tu, wanawachezea miili yenu na hawawapi kitu chochote zaidi ya ujauzito na ugonjwa wa UKIMWI. Elimu ni mkombozi wa maisha yenu hivyo basi shirikianeni katika masomo ili muweze kufaulu vizuri na kujiunga na vyuo vikuu", alisema Mama Kikwete.
Alisema, "Mkumbuke kuwa jukumu la ulezi wa mtoto ni la jamii nzima si la mzazi peke yake kwani kuharibika kwa mtoto wako ni kuharibika kwa taifa zima hivyo basi sote kama wazazi tunajukumu la kupunguza kasi ya upatikanaji wa mimba za utotoni kwa watoto wetu na kuhakikisha kuwa watoto wanakuwa katika maadili mema ya kitanzania".
Mkoa huo unajumla ya shule za msingi 621 kati ya mahitaji 668 hivyo kuna upungufu wa shule 46 na shule za sekondari 130.
WHO WILL BE THE ONE AND ONLY M-NET FACE OF AFRICA 2009…

It’s more than a name, more than a moment.
In Africa, for a decade, one search has led the way to find iconic, unforgettable African style.
That search is M-Net’s powerful Face of Africa and this month, the legendary competition returns to television screens once more to tell a story of hope and opportunity, as the journey from Africa’s busy streets to Africa’s glamourous catwalks continues.
From Saturday October 31 at 19.00 CAT (M-Net East), and running 17 weeks, Face of Africa will cross countries, uncover fresh new faces, and chart their rise to the top, from discovery to success, from potential to fame, from possibility to reality. Along the way, audiences will discover how Tanzania’s gorgeous Lillian Alphonce Mduda was discovered at this year’s audition in Dar es Salaam and how far she’s progressed in the competition.
Speaking as M-Net readies itself to screen a new expanded series, Africa Director Biola Alabi was clear on the project’s legacy, its aims and its outcomes.
“Over time, this initiative has shown that it is about so much more than just fashion and beauty. There is a bigger picture there to see, something more than shoes, and cameras and clothing. It’s about young women with so much courage that they will leave their homes to find new experiences, so much determination that they will venture into the unknown to discover themselves, so much passion that they will chase their dreams.”
She goes on to say, “There’s something so magical about this, so special to see, that M-Net wants to share it with audiences across Africa. Because these are Africa’s own and they are taking their chance to shine. We want to laugh with them, cry with them, celebrate with them and now our audiences can do this, every step of the way.”
With a winner prize of USD 50 000 plus a modeling contract with O Model Africa, the new season of Face of Africa began earlier this year with auditions in 14 countries - Angola, Botswana, Ethiopia, Ghana, Kenya, Malawi, Mozambique, Namibia, Nigeria, South Africa, Tanzania, Uganda, Zambia and Zimbabwe. Further entry was open online to entrants from across sub-Saharan Africa who wished to participate gaining entries from as far afield as Sudan and Cameroon. The next step was the casting sessions where a special team of model scouts evaluated entries and selected contestants to continue in the series.
Emotional, dramatic and entertaining, these castings were filmed and audiences will now be able to see behind-the-scenes of the search and live the experience.
At the end of the audition phase, 24 models from16 countries were selected to participate in Model BootCamp, in Mombasa in Kenya. This idyllic tropical paradise with its breathtaking shoreline served as backdrop for another selection round amidst modeling workshops, fashion photo-shoots and television filming.
With some of the selected contestants exiting the competition at this point, the Mombasa BootCamp was action-packed, exciting and a little tense, as contestants learnt, honed their skills and competed to remain in the competition under the watchful eye of BootCamp presenter and former Face of Africa 2005 Kaone Kario.
With stops scheduled in Johannesburg as well as a second Model BootCamp in Dar es Salaam at Swahili Fashion Week, plus the shooting of a music video with Nigerian superstar D’Banj, the Face of Africa adventure will be told every Saturday evening on M-Net East, in the lead-up to the Face of Africa 2009 Finale, to be held in Lagos on Saturday February 6, 2010.
For fans of the series, remember you can also log on to www.mnetafrica.com to watch exclusive footage, find out more about the contestants, access photographs and chat to other fans about this year’s search.
Meanwhile as the search for a new Face of Africa gets underway, last year’s winner Kate Menson is living her dream job. The 24-year-old has been starring in M-Net’s advertising campaign for the new season of Face of Africa and in addition, she recently completed a stay at the Big Brother house. Other credits include appearances at Mozambique Fashion Week, New Delhi Fashion Week, Cape Town Fashion Week and New York Fashion Week, plus she’s appeared on the pages of Elle, Glamour and Cosmopolitan.Now, as Kate continues her rise to the top of the fashion world, a new face is about to be transformed from aspiring model to fully fledged modeling sensation…to find out who, simply follow the search on M-Net.
Wednesday, October 28, 2009
KATIBU MKUU VIWANDA NA BIASHARA AZINDUA TAMASHA LA BIASHARA!!
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Joyce Mapunjo akisoma risala mbele ya waalikwa mbalimbali waliohudhuria katika uzinduzi wa Tamasha la Biashara la International Shopping Festival ambalo limeanza leo kwenye Viwanja vya Mwalimu J.K.Nyerere barabara ya Kirwa na litaendelea mpaka Novemba 10, tamasha hilo linashirikisha nchi 11 kutoka mashariki ya kati, Asia na Afrika Mashariki, wanaofuatia katika picha kulia ni Edwin Novath Rutageruka Director of Export Promotion (BET) na Ali Nizam General Manager Nizam Exhibitions Co. 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Bi Joyce Mapunjo akikata utepe kama ishara ya kuzindua rasmi tamasha la biashara linalofanyika kwenye viwanja vya Mwalimu J.K.Nyerere barabara ya Kirwa.CHANGIA SIMBA NA YANGA KWA KUJISAJIRI NA M-PESA
Big Brother Revolution: Images from Day 51 - TUESDAY OCTOBER 27!!
Day 51 on M-Net’s Big Brother Revolution sees the housemates relaxing as they come to terms with the fact that Biggie seems to have disappeared leaving the housemates with a note saying they’re on their own for now! Biggie also left behind a bright red telephone which connects the housemates to the Big Brother call centre but the operators are never available to take the call. How will the housemates cope without Biggie? Will Biggie be back? And will there be any new ‘housemates’ joining the game when Biggie returns? Tune in to Big Brother Revolution on DStv channel 198 or 199 and for more information, log on to www.mnetafrica.com/bigbrother.Shikito kupamba shoo ya Ferre Dar!!

Kigoma waanzisha daftari la mkulima ili kupata takwimu sahihi katika Kilimo!!
Tuesday, October 27, 2009
Rais Kikwete azindua mradi wa umeme Kilolo na kutembelea shamba la Ngo'mbe la Philips!!
RAIS KARUME AREJEA KUTOKA UFARANSA!!
MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI LEO!!
Dk. Samson Mpanda, kwenye jengo la utawala la Bunge Mjini Dodoma leo, Kulia ni Mke wa Mbunge huyo , Martina Mpanda.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Wawakilishi wa Baraza la Watoto wakipitia Muswada wa Sheria ya Mtoto leo asubuhi mjini Dodoma!!
Watoto hao wanawakilisha watoto wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka katika Mikoa mbalimbali nchini. Picha na (Asteria Muhozya wa Wizara ya Wanawake Jinsia na Watoto)
MISS TOURISIM ILALA WALAMBA MILIONI 50 ZA CHICKEN HUNT!!
Katika shindano hilo burudani zitaporomoshwa na bendi mbili tofauti katika kuleta ladha tofauti ambazo ni Diamond Musica na Extara Bongo wakati burudani nyingine italetwa na mtaalam wa nyimbo za Asili Mfalme Costa Siboka, katika picha wengine kulia ni Hamees Suba mkuu wa uhusiano Miss Tourism Tanzania, wa tatu ni Lucas Paul meneja mkuu Chicken Hunt na mwisho ni Pascal Boniventure Meneja wa Savannah Lodge nyuma ni warembo watakaoshirikia katika shindano hilo la pili kwa mkoa wa Dar es salaam mara baada ya lile la Temeke kumalizika.
Big Brother Revolution: Images from Day 49 - SUNDAY OCTOBER 25!!
Day 49 on M-Net’s Big Brother Revolution saw the departure of Comrades-in-Arms Kristal (Zimbabwe) and Quinn (South Africa) plus performances from the energetic hip hop artist XOD. In addition, series presenter IK announced that the Comrades-in-Arms part of the series is over and housemates will once more play as individuals! With the series now past the halfway mark, the remaining ten housemates are in the hunt for the USD 200 000 grand prize as the tension and drama grows.Monday, October 26, 2009
Milan certain of Beckham deal!!
AC Milan vice-president Adriano Galliani is "100% certain" David Beckham will return to the San Siro outfit in the winter transfer market.
The England midfielder has been strongly linked with a second loan spell at the Rossoneri to improve his chances of making Fabio Capello's FIFA World Cup™ squad.
Galliani told the Italian media: "Beckham's arrival is certain to happen, 100%. The agreement is done and all that is missing are the signatures."
story by www.fifa.com
Xavi glad to silence critics
Barcelona midfielder Xavi.Barça found themselves in the spotlight heading into their home clash with Zaragoza following a disappointing couple of results in the last week. They lost their 100 per cent start to the La Liga season and a chance to break a club record when they were held goalless by Valencia last weekend, and then in midweek they crashed to a shock 2-1 home defeat to Rubin Kazan in the UEFA Champions League.
That was Barça's first defeat in Europe since last December and first loss in any competitive match since May, and led to Pep Guardiola's side coming under fire in the Spanish media. However, the Barça players last week dismissed suggestions of a possible crisis and let their football do the talking last night by thrashing Zaragoza to go three points clear at the top of La Liga.
The victory helped show that we are doing things well, has helped build confidence, and has made us league leaders.
Barcelona midfielder Xavi
"We've shown that we are fine physically and that we aren't lacking goals," said Xavi following the victory. "I already said that the game the other day (against Rubin) was just one of those things. People tend to be guided by results, but we know that if we continue playing like that then we will almost always win.
"We weren't very good against Valencia, but we were fine against Rubin apart from in front of goal. We've been good here (against Zaragoza), we've had chances and we were winning 2-0 very quickly. The victory helped show that we are doing things well, has helped build confidence, and has made us league leaders."
Midfielder Seydou Keita led Barca's goal blitz with a hat-trick, while big-money summer signing Zlatan Ibrahimovic continued his good start to life at Barcelona with a brace, and Lionel Messi added the other. Ibrahimovic has now struck seven times in La Liga, leaving him level with Valencia's David Villa at the top of the Primera Division scoring charts and one above team-mate Messi.
"I'm very happy, because I started the season a little flat, but every day I'm getting better. However, without my team-mates I wouldn't be able to play like that," Ibrahimovic said. story by www.fifa.com
Big Brother Revolution: Images from Day 49!!
Day 49 on M-Net’s Big Brother Revolution saw the departure of Comrades-in-Arms Kristal (Zimbabwe) and Quinn (South Africa) plus performances from the energetic hip hop artist XOD. In addition, series presenter IK announced that the Comrades-in-Arms part of the series is over and housemates will once more play as individuals! With the series now past the halfway mark, the remaining ten housemates are in the hunt for the USD 200 000 grand prize as the tension and drama grows. X Plastaz represent Africa at BET Hip Hop Awards 2009






Mwinyi wa Machozi Band na Aminata wakipozi kwa picha nao walikuwepo katika uwanja wa ndege wa mwalimu Nyerere kumpokea Lady Jaydee lakini pia wakajumuika amoja na mashabiki wengine katika kumpokea Elizabeth Gupta.






















